![]() Mtendaji Mkuu wa Chama cha Makocha wa Ligi England, Richard Bevan, amesema msimu wa soka nchini humo hautaendelea kama wachezaji wote hawatapimwa Corona. |
![]() Ligi ya mchezo wa Kikapo Mkoa wa Arusha iliyokuwa ianze kutimua vumbi mwishoni mwa mwezi huu haitafanyika tena hadi itakapotangazwa baadaye. |
![]() Gwiji wa zamani wa mpira wa kikapu katika Ligi ya Marekani (NBA), Kobe Bryant aliyefariki mwezi uliopita kwa ajali ya helkopta, amechaguliwa kuingia katika kumbukumbu za wachezaji waliofanya makubwa kwenye ligi hiyo na kuwa nje ya mchezo huo baada ya miaka mitatu na kuendelea. |
![]() Msemaji wa klabu ya Simba, Haji Manara amesema kuwa kutokana na uzoefu wa kazi alio nao, anaweza kufanya kazi katika Shirikisho la Soka Duniani FIFA kama msemaji. |
![]() Jose Mourinho ameingia matatani na mabosi wake wa Tottenham baada kuruhusu kuanza kwa mazoezi yeye na wachezaji wake tena bila kufuata taratibu za kuwa mbalimbali ili kuepuka virusi vya Corona. |
![]() Ronaldinho Gaucho ameachiwa kwa dhamana kutoka gerezani nchini Paraguay baada ya kukaa kwa siku 32 kwa kosa la kuingia nchini humo na passport bandia. |
![]() Baada ya kuwa katika hali ya sintofahamu kwa vilabu mbalimbali vya soka kutokana na kusimama kwa Ligi huku baadhi ya wachezaji wao wakiwa wanamaliza mikataba, Shirikisho la soka Ulimwenguni FIFA limelitolea ufafanuzi sula hilo. |
![]() Kiungo wa timu ya Manchester United, Jesse Lingard amesema atabaki katika timu hiyo apiganie nafasi na hata kama atakaa benchi sio mbaya, lakini hayuko tayari kujiunga na Arsenal. |
![]() Baada ya kuvunja mkataba na klabu yake nchini Uturuki kwa kigezo cha kutotaka kucheza wakati huu wa virusi vya corona, John Obi Mikel amepata ofa mpya. |
![]() Mshambuliaji wa Kimataifa wa Tanzania Dickson Ambundo anayeichezea kwa mkopo Gor Mahia ya Kenya akitokea timu ya Alliance FC ya Mwanza, amesema kama sio janga la Corona huu ulikuwa ni mwezi wa kujihakikishia kutetea ubingwa wao wa Ligi Kuu Kenya, KPL. |
![]() Shirikisho la Soka Duniani FIFA linataka kuongeza umri kwa wachezaji wanaoshiriki mashindano ya soka ya Olimpiki ya Tokyo 2020, hapo mwakani kutoka miaka 23 hadi 24. |
![]() Aliyekuwa mshikilizi wa rekodi ya Marathon, Wilson Kipsang amekamatwa jana usiku na watu wengine 20 walipokuwa ndani ya klabu moja huko Iten kwa kukiuka amri ya kutotoka nje kuanzia saa moja usiku hadi saa kumi na moja alfajiri iliyowekwa na serikali ya Kenya, ikiwa ni jitihada za kupunguza kuenea kwa virusi vya Corona. |
![]() |
![]() Mchezaji wa zamani wa Yanga na timu ya taifa Tanzania Taifa Stars, Bakari Malima amemshauri beki wa Simba Gadiel Michael kuangalia uwezekano wa kuhamia timu nyingine katika msimu ujao. |
![]() |
![]() Mshambuliaji kinda wa Birmingham City, Jude Belligham ameripotiwa kuikacha Manchester City na kutaka kutimkia Borussia Dortmund. |
![]() |
![]() Nyota wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga Aston Villa ya Ligi Kuu England, Mbwana Samatta, huenda akatua Galatasaray ya Uturuki iliyoonyesha nia ya kuhitaji huduma ya mshambuliaji huyo wa zamani wa Simba. |
![]() |
![]() Mshambuliaji wa timu ya RB Leipzig ya Ujerumani, Yussuf Poulsen mwenye asili ya Tanzania ameripotiwa kuwindwa na klabu ya New Castle United inayoshiriki Ligi Kuu England, ikiwa ni mpango wa kuongeza makali kwenye safu yao ya ushambuliaji. |
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |