• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • • SOKA: Bayern Munich washerehekea ubingwa wakiwa wenyewe huku wakijifariji kwa pombe 2020-06-18
    • SOKA: Bayern Munich washinda taji lao la 8 mfululizo Bundesliga 2020-06-17
    Ushindi mnono wa Bayern Munich wa bao 1-0 dhidi ya Werder Bremen jana usiku, umeiwezesha timu hiyo kutwaa taji lao la nane Bundesliga.
    • SOKA: Arsenal ipo tayari kujadili mustakabali wa nyota wake Alexander Lacazette 2020-06-17
    • CHESS: Mashindano ya Chess y Dar kupitia mtandao wa internet yaingia awamu ya pili 2020-06-16
    Mashindano ya Chess kupitia mtandao wa internet yalioandaliwa na klabu za Don Bosco na Rising Star za jijini Dar es Salaam, Tanzania, yameingia katika awamu ya pili weekend iliyopita.
    • NDONDI: Sasa tutarajie kuona pambano kati ya Tyson Fury na Mike Tyson 2020-06-16
    Matarajio ya Tyson Fury kuzipiga na nguli wa mchezo wa masumbwi ulimwenguni, Mike Tyson ambaye ni mmoja kati ya watu anaovutiwa nao yanaelekea kutimia, hii ni baada ya ofa kufika mikononi mwa promota wake Frank Warren.
    • TENNIS: Mashindano ya Wazi ya Tennis Marekani yatarajiwa kuanza licha ya wasiwasi wa wachezaji 2020-06-15
    Hatma ya Mashindano ya Wazi ya Tennis Marekani (US Open) itajulikana baadaye wiki hii wakati maofisa watakapoamua kama mashindano hayo yataendelea kama ilivyopangwa licha ya kuongezeka kwa wasiwasi kati ya wachezaji nyota wa mchezo huo.
    • TANZIA: Katibu mkuu wa Chama cha mpira wa kikapu Tanzania Coach G afariki dunia 2020-06-15
    • SOKA: Ighalo ashangazwa na mazoezi chini ya masharti mapya 2020-06-12
    Mshambuliaji wa timu ya Manchester United Odion Ighalo amesema mazoezi anayofanya kwa sasa ni mapya kabisa katika maisha yake ya soka.
    • TENNIS: Roger Federer kuonekana tena uwanjani 2021 2020-06-11
    Mcheza Tenisi anaeshika namba nne kwa ubora duniani upande wa wanaume Roger Federer, atakuwa nje uwanja kwa mwaka wote wa 2020 baada ya kufanyiwa upasuaji mwingine wa goti la kulia.
    • SOKA: Panga la kukatwa mshahara lawasubiri akina Molinga, Sibomana na Makame kwa kunenepa 2020-06-11
    • RIADHA: Bingwa wa Cardiff Marathon awapa wanariadha walioathiriwa na COVID-19 nyumba zake kuishi bila malipo 2020-06-10
    Bingwa wa zamani wa Cardiff Half Marathon raia wa Kenya, John Kipsang Lotiang, amewapa wanariadha ambao wameathiriwa zaidi na janga la corona nyumba saba za kukodisha bila malipo.
    • SOKA: Mkwasa: Wachezaji hawana utimamu wa mwili 2020-06-09
    Kocha msaidizi wa Young Africans Charles Boniface Mkwasa amesema wachezaji wake hawana utimamu wa mwili (hawako fit), ukilinganisha na walivyoonekana wapinzani wao KMC FC, katika mchezo wa wa kirafiki uliopigwa jumapili Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam.
    • RIADHA: Mkimbiaji Salwa Eid Naser wa Bahrain apigwa marufuku ya muda kwa kukosa kwenda kufanyiwa vipimo 2020-06-09
    • SOKA: Mshambuliaji wa zamani wa Liverpool Mario Balotelli, afukuzwa Brescia 2020-06-08
    Mshambuliaji wa zamani wa Liverpool na Manchester City, Mario Balotelli anaripotiwa kufurushwa na klabu ya Italia, Brescia baada ya kutofautiana vikali na rais wa klabu hiyo Massimo Cellino.
    • CORONA: Jadon Sancho wa Borussia Dortmund apigwa faini kwa kukiuka kanuni za kuvaa barakoa 2020-06-08
    • SOKA: Frank Lampard amnyatia Aubameyang 2020-06-05
    Meneja wa klabu ya Chelsea Frank Lampard amepanga kuwashangaza Arsenal kwa kupeleka ofa ya kumsajili mshambuliaji wao Pierre-Emerick Aubameyang wakati dirisha la uhamisho wa majira ya kiangazi litakapofunguliwa.
    • SOKA: Yanga yawachezesha gwaride la mwendo kasi maafande 2020-06-05
    • Cristiano Ronaldo ampiku Lionel Messi kwa kupokea mkwanja mrefu 2020-06-04
    • SOKA: RB Salzburg watwaa ubingwa bila shamrashamra 2020-06-03
    • SIMANZI: Nyota wa Liverpool wapiga magoti uwanjani kabla ya mazoezi kufuatia kifo cha George Floyd 2020-06-02
    prev 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 next
    SearchYYMMDD  
    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako