• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • • Aina mpya ya mnazi yazinduliwa Kwale,Kenya 2019-02-18

    Wakulima katika ukanda wa Pwani nchini Kenya huenda wakaona faida za kilimo cha minazi kufuatia kuzinduliwa kwa aina mpya ya mnazi katika kaunti ya Kwale.

    Hii ni mara ya kwanza kwa wakulima wa nazi nchini Kenya kupanda aina hii mpya ya minazi iliyoboreshwa.

    • Mkutano wa 32 wa viongozi wa AU wamalizika Addis Ababa 2019-02-12

    Mkutano wa kila mwaka wa viongozi na wakuu wa serikali wa nchi za Afrika umemalizika mjini Addis Ababa Jumatatu baada ya kujadili masuala ya mabadiliko ya taasisi za umoja huo, usalama na suala la wakimbizi. Kwenye mkutano huo, wa siku mbili, rais Paul Kagame wa Rwanda alimkabidhi uwenyekiti wa Umoja wa Afrika (AU) rais Abdel Fatah el Sissi wa Misri aliyepokea zamu ya uongozi kwa mwaka mmoja .

    • Rais Kenyatta asisitiza umuhimu wa bara la Afrika kukumbatia Pendekezo la Ukanda mmoja na Njia moja 2019-02-08
    • Wanafunzi wa taasisi wa confucious cho cha Kenyatta wakaribisha mwapa mpya wa kichina 2019-02-05
    • Mkutano wa 20 wa Marais wa EAC wafanyika wiki iliyopita 2019-02-04
    Mkutano wa 20 wa Marais wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, ulifanyika mwishoni mwa juma lililopita, Arusha, Tanzania. Hii ni baada ya kuahirishwa mara mbili mwezi Novemba na Disemba mwaka jana.
    • Kampuni ya ndege ya Zambia yasimamisha usafiri wa kwenda Zimbabwe 2019-01-24

    Kampuni ya ndege ya Zambia jana imetangaza kusitisha safari kati ya mji mkuu ya nchi hiyo Lusaka na mji mkuu wa Zimbabwe, Harare.

    • Rais wa Zambia hataongeza mkataba wa mkuu wa huduma za umma
     2019-01-22

    Rais Edgar Lungu wa Zambia amefanya mabadiliko madogo kwa makatibu wakuu wa nchi hiyo, ambapo ameeleza kuwa hataongeza mkataba wa katibu wa Baraza la Mawaziri la nchi hiyo, Bw. Roland Msiska, unaomalizika tarehe 20 mwezi ujao.

    • Uganda yazindua kituo kikubwa zaidi cha umeme wa kutumia jua katika kanda ya Afrika Mashariki na Kati 2019-01-10

    Rais Yoweri Museveni wa Uganda amezindua kituo kikubwa zaidi cha umeme wa kutumia jua katika kanda ya Afrika Mashariki na Kati, ambacho kina uwezo wa kutoa megawati 20 za umeme.

    • Watu watatu wafariki na wengine 620 kujeruhiwa katika ajali ya treni nchini Afrika Kusini 2019-01-09

    Watu watatu wamefariki na wengine 620 kujeruhiwa baada ya treni mbili za abiria kugongana jana asubuhi nchini Afrika Kusini.

    • Kenya yapanga kuanza kufundisha kichina mashuleni mwaka 2020 2019-01-08

    Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya mitaala ya taifa ya Kenya (KICD) Bw. Julius Jwan, amesema Kenya inapanga kuanzisha mafundisho ya lugha ya kichina kuanzia darasa la nne kwa wanafunzi wanaotaka kujifunza lugha ya Asia katika mwaka 2020, na lugha ya kichina itafundishwa kama lugha ya kigeni pamoja na Kifaransa, Kiarabu na Kijerumani.

    • Kenya yaweka rekodi mwenye mbio za masafa marefu 2018-12-28
    Mwanariadha Eliud Kipchoge ameweka taifa la Kenya kwenye ramani ya dunia kwa mara nyingine tena mwaka huu, kwa kushinda tuzo la mwanariadha bora wa kiume wa mwaka wa 2018. Kipchoge ameshinda mataji mengi sana ila ushindi wake wa mbio za Berlin Marathon na kuweka rekodi mpya ambayo haijawahi kushuhudiwa kwenye mbio hizo, ni jambo ambalo limempa sifa kote duniani.
    • Makubaliano ya kisiasa yasaidia ukuaji wa uchumi na kuleta amani Kenya 2018-12-27
    Mwaka 2018 Kenya imeshuhudia maendeleo makubwa ya kisiasa na kufungua ukarasa mpya katika kukuza amani, mashikamano na kukabiliana na migawanyiko ya kikabila.
    • Kenya na China zaendelelea kukuza ushirikiano wa kunufaishana 2018-12-26
    Ushirikiano wa China na Kenya Mwaka wa 2018 umendelea kupiga hatua mpya ukifaidi watu wa pande hizo mbili.
    • Watu wawili wauawa katika shambulizi la kigaidi dhidi ya makao makuu ya wizara ya mambo ya nje ya Libya 2018-12-25

    Shambulizi la kigaidi lililotokea katika makao makuu ya wizara ya mambo ya nje ya Libya limesababisha vifo vya watu wasiopungua wawili.

    • Kongamano la kwanza la Kimataifa la Uchumi wa rasilimali za majini lafanyika Nairobi 2018-12-25
    Kongamano la kwanza la kimataifa la uchumi endelevu wa rasilimali za majini lilingóa nanga jijini Nairobi katika jumba la mikutano la KICC kuanzia tarehe 26 hadi 28 Novemba 2018.
    • Kenya yajitahidi kutoa huduma bora za afya kwa wote 2018-12-24
    Serikali ya Kenya mwaka 2018 imepiga hatua katika utoaji wa huduma za afya kwa wote na kwa gharama nafuu.
    • Balozi wa China nchini Kenya atoa makala ya kupongeza maadhimisho ya miaka 55 tangu China na Kenya kuanzisha uhusiano wa kibalozi 2018-12-14

    Leo tarehe 14 Desemba ni siku ya kuadhimisha miaka 55 tangu China na Kenya kuanzisha uhusiano wa kibalozi. Balozi wa China nchini Kenya Bi. Sun Baohong leo ametoa makala kwenye gazeti la Daily Nation la Kenya yenye kichwa cha "kushirikiana kujenga mustakabali mpya wa ushirikiano kati ya China na Kenya".

    • Kenya na China zasaini makubaliano kuhimiza ushirikiano katika sayansi na uvumbuzi 2018-12-14
    Wizara ya elimu ya Kenya na washauri bingwa wa China wamesaini makubaliano ili kuhimiza ushirikiano katika nyanja za sayansi, utafiti na uvumbuzi. Kwa mujibu wa makubaliano hayo, Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia ya Kenya na Chuo cha Sayansi cha China wataunga mkono shughuli za sayansi anuai, teknolojia, uvumbuzi na ushirikiano wa elimu ya juu kati ya China na Afrika katika nyanja za ikolojia, ulinzi wa mazingira, uhifadhi wa viumbe anuai na maendeleo endelevu, pamoja na uendelezaji kupitia Kituo cha Pamoja cha Utafiti SAJOREC.
    • Upimaji wa hali ya HIV binafsi ni juhudi mpya za kupambana na HIV nchini Kenya 2018-11-28
    Huku ulimwengu ukiadhimisha siku ya ukimwi duniani tarhe 1 desemba, nchi mbalimbali zimeendelea kuweka mipango ya kupambana na kuenea kwa ugonjwa huo.
    •  Kongamano la kwanza la Kimataifa la Uchumi wa rasilimali za majini lafunguliwa jijini Nairobi 2018-11-27
    prev 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 next
    SearchYYMMDD  
    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako