• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • • Utafiti wa kilimo kati ya Kenya na China kutatua changamoto za upungufu wa Chakula 2019-04-24

    Kwenye ripoti mfululizo leo kuhusu ushirikiano wa wataalam na wasomi wa China na Kenya, Ronald Mutie anaripoti kuhusu kazi za maabara ya pamoja ya kilimo kwenye Chuo kikuu cha Jomo Kenyatta cha kilimo na Teknolojia. Maabara hiyo imejengwa kwa msaada wa China kupitia chuo kikuu cha sayansi cha China. Hii hapa ripoti yake.

    • China kusaidia Kenya kupata data ya ardhini kutoka angani bila malipo 2019-04-23
    Kenya itakuwa na kituo cha kwanza barani Afrika cha kupokea data ya ardhi yake kutoka angani kupitia kwa setilaiti.
    • Kituo cha pamoja cha utafiti chakuza ubadilishanaji wa kisayansi kati ya China na Afrika 2019-04-22
    Leo tunaanza mfululizo wa ripoti kuhusu ushirikiano wa wataalam na wasomi wa China na wale wa Kenya na Tanzania.
    • Karibu watu 104 wameripotiwa kufariki dunia kwenye ajali ya boti iliyotokea nchini DRC 2019-04-19

    Watu 104 wanaripotiwa kufariki dunia kwenye ajali ya boti iliyotokea jumatatu usiku katika Ziwa Kivu, lililopo katika jimbo la Kivu Kusini nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

    • Daraja la Maputo lililojengwa na kampuni ya China lachangia maendeleo ya uchumi na jamii nchini Msumbiji
     2019-04-15

    Ushirikiano kati ya China na Msumbiji katika miaka ya hivi karibuni umeongezeka katika sekta za kilimo, nishati na miundombinu, huku Msumbiji ikiwa ni mshiriki wa pendekezo la China la "Ukanda Mmoja na Njia Moja". Hadi sasa daraja la Maputo ni mradi mkubwa zaidi uliofanywa na kampuni ya China nchini Msumbiji. Daraja hilo lililozinduliwa rasmi tarehe mosi, Januari mwaka jana, linachangia maendeleo ya uchumi na jamii nchini humo.

    • Mtaalam kutoka Zambia ataka utayari wa kisiasa ili kutekeleza makubaliano ya biashara huria barani Afrika 2019-04-05
    Mkurugenzi wa Biashara na Forodha iliyo chini ya Soko la Pamoja la Mshariki na Kusini mwa Afrika (COMESA) Bw. Francis Mangeni ametoa wito wa utayari wa kisiasa kwa viongozi wa Afrika ili kutekeleza makubaliano ya Eneo la Biashara Huria la Afrika (AfCFTA).
    • Zambia yamaliza zamu yake ya Uenyekiti wa Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika
     2019-04-04

    Zambia imemaliza muda wake kama mwenyekiti wa Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika, na kueleza kuridhishwa na mchango wake katika Baraza hilo.

    • Watu 268 wamefariki nchini Zimbabwe kutokana na kimbunga Idai 2019-04-03

    Waziri wa huduma za habari, uenezi na raido wa Zimbabwe Bibi Monica Mutsvangwa amesema, watu 268 wamefariki na mamia ya wengine hawajulikani walipo kufuatia kimbunga Idai kilichoshambulia sehemu ya mashariki ya Zimbabwe katikati ya mwezi uliopita.

    • Kikosi cha uokoaji cha China chasaidia kukinga maradhi nchini Msumbiji
     2019-04-01

    Kikosi cha uokoaji cha China kimefanya kazi katika eneo lililoathiriwa na kimbunga cha Idai nchini Msumbiji kwa wiki mbili. Licha ya ukoaji na matibabu, kikosi hicho pia kinafanya kazi ya kukinga maradhi katika sehemu zenye watu wengi haswa makazi ya watu walioathiriwa na maafa.

    • Darasa la kwanza la Lu Ban la China barani Afrika kuisaidia Djibouti kuandaa wataalamu wa teknolojia na ufundi 2019-03-29
    Darasa la kwanza kabisala Lu Ban linachojengwa na China barani Afrika limezinduliwa rasmi jana nchini Djibouti, hatua ambayo imefungua ukurasa mpya wa ushirikiano kati ya China na Djibouti katika sekta ya mafunzo ya elimu na ya kiufundi, na litawaandaa wataalamu wa teknolojia na ufundi wanaohitajika katika mradi wa reli ya Djibouti na maendeleo ya uchumi na jamii ya nchi hiyo.
    • Chanzo cha ajali ya ndege ya Ethiopia chafanana na ajali ya Indonesia 2019-03-19

    Ripoti iliyotolewa na taasisi ya uchunguzi wa usalama wa ndege ya nchini Ufaransa imesema, chanzo cha ajali ya ndege ya Boeing ya kampuni ya ndege ya Ethiopia kinafanana na ajali ya ndege ya Boeing ya kampuni ya ndege ya Lion ya Indonesia.

    • Mkutano wa nne wa Mazingira wa UM wapitisha mipango ya kivumbuzi kukabiliana na changamoto zinazokabili mazingira 2019-03-12
    Mkutano wa nne wa Baraza kuu la Umoja wa Mataifa umefunguliwa jana mjini Nairobi, Kenya. Wakati wa mkutano wa siku tano, wajumbe zaidi ya 4,700 kutoka nchi na sehemu 170 duniani wanatafuta teknolojia na njia mbalimbali za kutatua masuala ya mazingira, na kutimiza matumizi na uzalishaji endelevu.
    • Baraza la Mazingira la nne lahimiza hatua za kuhifadhi ikolojia 2019-03-12
    Washiriki kwenye mkutano wa nne wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa la mazingira (UNEA 4) Mjini Nairobi , wametoa wito wa hatua za haraka za kuhifadhi mazingira ili kuepusha dunia na majanga kama vile mafuriko, uchafuzi wa bahari na ukame.
    • Abiria na wahudumu wote waliokuwemo katika ndege iliyoanguka ya shirika la Ethiopia wafariki dunia 2019-03-11

    Ndege ya kampuni ya Ethiopia aina ya Boeing 737 MAX 8, iliyokuwa ikisafiri kutoka Addis Ababa kuelekea Nairobi ilianguka jana asubuhi na kuwaua abiria na wahudumu wote waliokuwemo. Kufuatia ajali hiyo iliyotokea dakika sita baada ya ndege hiyo kupaa, kampuni ya kutengeneza ndege hizo, Boeing inatarajiwa kutuma mafundi wake wa mitambo kwenye eneo la ajali hiyo kubaini ni kipi haswa huenda kilichangia ndege hiyo kuanguka.

    • Ripoti ya kazi ya serikali ya China yajadiliwa na wageni wengi 2019-03-07
    Mwanasiana na msomi maarufu nchini Zimbabwe Bibi Fay King Chung amesema China inajizoeza na hali mpya, kuimarisha mageuzi kwa pande zote, na kuendeleza taifa katika sekta mbalimbali, mambo ambayo yametoa mfano wa kuigwa kwa nchi za Afrika.
    • Balozi wa Tanzania nchini China asifu ripoti ya kazi za serikali ya China 2019-03-06

    Balozi wa Tanzania nchini China Bw. Mbelwa Kairuki ameisifu ripoti ya kazi za serikali iliyotolewa jana na waziri mkuu wa China Bw. Li Keqiang katika mkutano wa pili wa awamu ya 13 wa Bunge la Umma la China.

    • Hatuwezi kuongeza mishahara kila mara asema rais wa Kenya 2019-02-22
    Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amesema serikali haiwezi kuwa na fedha za kuongezea watu wote mishahara kila mara na kuwataka watumishi wa umma wafikirie kwanza wananchi wa kawaida badala ya kuitisha migomo kila mwaka.
    • Kenya na Somalia zatakiwa kutafuta suluhu la kidiplomasia kuhusu mzozo wa mpaka 2019-02-21
    Huku serikali za Somalia na Kenya zikiendelea kutafuta suluhu la mzozo wa baharini ulioibuka hivi karibuni, sasa kampuni moja ya Norway imesema ilipata sehemu hiyo inayozozaniwa kutoka Somalia na baadaye kutafuta wanunuzi wa Uingereza.
    • Chama tawala nchini Uganda champitisha rais Museveni kugombea tena urais mwaka 2021
     2019-02-20

    Kamati Kuu ya chama tawala nchini Uganda NRM imetangaza kuwa, rais wa sasa wa nchi hiyo Yoweri Museveni atagombea tena nafasi hiyo katika uchaguzi mkuu utakaofanyika mwaka 2021.

    • Somalia na Umoja wa Mataifa zatafuta njia za kuboresha juhudi za ujenzi wa amani
     2019-02-19

    Somalia na Umoja wa Mataifa zimezindua Mfuko wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa Ujenzi wa Amani (PBF) ili kusaidia ujenzi wa amani nchini Somalia ukilenga zaidi miradi inayofanywa na serikali.

    prev 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 next
    SearchYYMMDD  
    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako