• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • • Wasomi na mikakati ya China kumaliza umasikini Afrika 2017-06-20

    AFRIKA yenye idadi ya watu zaidi ya bilioni 1.1 ina rasilimali nyingi za asili zenye thamani kama Mafuta, gesi, madini mbalimbali na vinginevyo lakini inakabiwa na changamoto kubwa ya umasikini. Wasomi wa China na Afrika walikutana mwaka jana nchini China na kuzungumzia sababu za Afrika kukithiri kwa umasikini na mikakati ya kupunguza umasikini. Inakadiliwa kuwa asilimia 75 ya nchi masikini duniani ziko katika bara la Afrika. Hali ya Umasikini:

    • Vyombo vya habari China vyafungua milango zaidi kwa Waandishi wa Habari za Afrika 2017-06-16

    UHUSIANO baina ya nchi ya China na Afrika umekuwa ukiimarika siku hadi siku kiasi ambacho habari za pande hizo mbili zimekuwa zikitangazwa katika upande mwingine kwa kiasi kikubwa. Ukiangalia vyombo vya habari nchini China ni lazima utakutana na habari ya nchi za Afrika katika sekta mbalimbali hasa kwa Afrika na jinsi China ambayo ni nchi inayoendelea inavyojikita katika kusaidia.

    • Wafanyabiashara wa Tanzania walioko China watangaza mikakati ya uwekezaji zaidi 2017-06-15

    TANZANIA na China imekuwa na mahusiano ya muda mrefu katika sekta mbalimbali ikiwemo uhusiano wa Kidplomasia, kiuchumi, kisiasa lakini kubwa zaidi ni kibiashara ambapo kuna watanzania wanaofanya baishara nchini China.

    • Wanawake Afrika kutimiza ndoto zao kwa kutumia pendekezo la Ukanda Mmoja na Njia Moja 2017-06-09

    IKIWA ni wiki chache tangu kufanyika kwa kongamano la kwanza kuhusu Mkanda Mmoja Njia Moja mjini hapa wanawake kutoka nchi mbalimbali za Afrika kwa kushirikiana na wenzao kutoka China wameandaa tamasha kuangalia namna ya kujikwamua katika kujiletea maendeleo.

    • Kampuni ya China kuunda Matrekta Tanzania kukuza kilimo cha Kisasa 2017-06-06
    KILIMO ni uti wa mgongo wa uchumi wa nchi ya Tanzania, kama zilivyo nchi nyingi za bara hilo la Afrika kilimo kimekuwa kikichangia maendeleo ya uchumi kwa nusu ya pato la Taifa. Tanzania ni moja ya nchi ambazo wananchi wake walio wengi hutegemea kilimo kuendesha maisha yao ya kila siku hasa waliopo vijijini,ambapo asilimia 75 ya wananchi wote ni wakulima.
    • Kampuni ya Umeme China ina jibu la shida ya Umeme Afrika 2017-05-31

    Nchi nyingi katika bara la Afrika zimekuwa zikikabiliwa na ukosefuwa nishati ya umeme ya uhakika hivyo kupoteza kupata wawekezajikatika sekta mbalimbali hasa viwanda huku wawekezaji wengine wakitishia kuondoka kwa madai ya kukwamisha uzalishaji na kuongeza gharama.

    • China yaendelea kutekeleza ahadi ya FOCAC kwa kujenga Bandari Tanzania 2017-05-25

    Mwaka 2015 kulifanyika mkutano wa Jukwaa la Ushirikiano kati ya China na nchi za Afrika (FOCAC) katika mji wa Johannesburn Afrika Kusini. Katika mkutano huo, Rais wa China Xi Jinping alihaidi nchi yake itatoa dola bilioni 60 kufadhili miradi ya maendeleo barani Afrika, katika mipango ya nchi yak kwa nchi za Afrika wenye vipengee kumi wa taifa lake barani Afrika akisema anataka kujenga uhusiano wa haki na washirika walio sawa.

    • "Ukanda Mmoja na Njia Moja" kuongeza wataalamu Afrika kupitia ushirikiano katika Elimu kati yake na China 2017-05-22

    UKIFIKA nchini China katika miji mbalimbali utakutana na idadi kubwa ya waafrika wengi lakini licha ya kuwepo wafanyabishara wengi wao ni wanafunzi. Idadi kubwa ya waafrika katika vyuo mbalimbali nchini China inadhihirisha wazi kuhusu ushirikiano katika sekta ya elimu baina ya nchi za Afrika na China.

    • Pendekezo la Ukanda Mmoja na Njia Moja lakutanisha wawewekezaji 100 kutoka China kuhamasisha uwekezaji Tanzania 2017-05-19

    TANZANIA na China imekuwa na mahusiano ya muda mrefu katika sekta mbalimbali ukiwemo uhusiano wa Kidplomasia, kiuchumi, kisiasa pamoja na kijamii.

    • "Ukanda Mmoja na Njia Moja" fursa kwa Afrika kuunganishwa na nchi nyingine duniani kwa Miundombinu 2017-05-12
    NCHI za Afrika zimekuwa zikikabiliwa na matatizo mengi ya miundombinu jambo lililofanya kuwa ngumu kwa kuunganisha bara hilo kutoka nchi moja hadi nyingine.
    • CPC-China kuimarisha mahusiano na Vyama vya siasa Afrika kwa kujikita kwenye maendeleo ya wananchi 2017-05-05

    USHIRIKIANO wa China na nchi za Afrika umekuwa ukiimarika kila kukicha katika masuala mbalimbali ya kiuchumi,kiteknolojia, kiusalama na mengineyo katika kuhakikisha uhusiano unaimarika katika Nyanja tofauti.

    • "Canton Tower": Mnara wenye hisia mchanganyiko japo kivutio kikubwa cha utalii 2017-05-04

    GUANGZHOU ni mji maarufu katika jimbo la Guangdong lililopo Kusini mwa China huku ukiwa na wananchi wengi kutoka nchi za Afrika wakijihughulisha na masuala mbalimbali lakini wengi wao wakifanya biashara za aina tofauti.

    • Daktari kutoka China aandika kitabu kueleza miaka 10 aliyoishi na kufanya kazi Afrika, wadau wataka kichapishwe kwa Kiswahili 2017-04-27

    Mmoja wa madaktari waliofika katika nchi hizo kutoka China na kufanya kazi kwa miaka 10 katika nchi tatu ameandika kitabu kuelezea maisha aliyoishi na kufanya kazi changamoto alizopitia, mwingiliano wake na waafrika pamoja na nini cha kufanya.

    • Kiwanda cha viatu China kutoa ajira 100,000 Afrika 2017-04-21

    KIWANDA kikubwa cha kuzalisha viatu vya kike nchini China cha Huajian Footwear Manufacturing kimeeleza nia kuwekeza zaidi katika nchi za Afrika na kutoa nafasi za ajira 100,000.

    • China yapania kumaliza Ugonjwa wa Malaria duniani ndani ya miaka 10 kwa kutumia MDA 2017-04-20
    CHINA imeweka mkakati wa kuhakikisha wanatokomeza ugonjwa wa Malaria Duniani kwa kutumia dawa inayoua vimelea vya magonjwa ya ugonjwa huo katika mwili wa binadamu.
    • Watanzania waanza kazi startimes China kukuza lugha ya Kiswahili na Tamaduni za Kichina 2017-04-10

    WATANZANIA sita walioshinda katika shindano maalum la ubadilishaji wa sauti "Dubbing" wameanza kazi katika kampuni ya Startimes Group ya nchini China kwa mkataba wa kuanzia wa mwaka mmoja.

    • Vinyago zaidi ya 510 toka Afrika vyavutia Makumbusho ya Taifa China 2017-04-05

    SANAMU na Vinyago zaidi ya 510 kutoka katika nchi za Afrika zimechaguliwa kuwekwa katika Makumbusho ya Taifa ya China. Utamaduni huo kutoka katika nchi zaidi ya 10 za Afrika ya kati, Afrika Magharibi na Kusini mwa jangwa la Sahara nyingi zinamuhusu binadamu na mazingira ya Afrika yanayomzunguka.

    • Tanzania yashiriki Maonesho ya Utalii China na kudhamilia kuongeza idadi ya watalii 2017-04-04

    TANZANIA imeshiriki kwa mara ya tano katika maonesho ya China Outbound International tourism Travel Exhibitio na kuweka mikakati ya kusaka soko la watalii nchini hapa na kuingiza watalii 300,000 kwa mwaka .

    • China yawekea Afrika dola za Marekani bilioni 34 2017-03-29
    Uwekezaji wa China katika nchi za Afrika umefikia kiasi cha dola za Marekani bilioni 34 ikiwa ni mara 60 ya ilivyokuwa imewekeza kwa mwaka 2000.
    • Madaktari wanafunzi kufungua Cliniki za dawa asili za kichina katika nchi zao za Afrika 2017-03-28
    Wanafunzi wawili wa kike kutoka katika nchi za Afrika wanaosomea jinsi ya kutoa matibabu kwa wagonjwa kwa kutumia dawa asili za kichina wamesema lengo la kusoma masomo hayo ni kufungua Kliniki za matibabu hayo nchini mwao.
    • Ushirikiano wa Jimbo la Jiangsu, China na Afrika waimarishwa na kampuni 400 2017-03-24

    Ushirikiano baina ya jimbo la Jiangsu nchini China na Afrika umezidi kuwa imara ambapo mpaka sasa kuna kampuni 400 kutoka jimbo hilo zimewekeza Afrika huku kampuni nyingine zikionesha nia ya kwenda kuwekeza Africa.

    • Balozi mpya wa Tanzania akabidhi nyaraka za utambulisho na kusema kipaumbele kwa sasa ni mafunzo kwa wahandisi wa Tanzania 2017-03-22
    Balozi mpya wa Tanzania nchini China Bw Mbelwa Kairuki amehaidi kutumia uhusiano uliopo kati ya China na Tanzania ili kuzalisha wataalamu wa sekta mbalimbali, kwa kuanzia katika miaka mitano ijayo anatarajia kupata wahandisi 1,000. Balozi Kairuki amesema hayo baada ya kuwasilisha hati za utambulisho kwa Rais Xi Jinping, ikiwa ni mwezi mmoja tangu kuripoti kwenye kituo chake cha kazi.
    • Theopista Nsanzugwanko, mwandishi wa habari wa Daily News na Habari Leo, Tanzania 2017-03-22
    1  2  3  4  
    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako