• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • • Rais wa China akutana na waziri mkuu wa Iraq 09-24 08:40

    Rais Xi Jinping wa China hapa Beijing amekutana na waziri mkuu wa Iraq Bw. Adil Abd Al-Mahdi.

    • China yamejenga mtandao mkubwa zaidi ya habari na mawasiliano duniani
     09-20 19:09

    Waziri wa viwanda na habari wa China Bw. Miao Wei, leo hapa Beijing amesema katika muda miaka 70 iliyopita tangu Jamhuri ya Watu wa China ianzishwe, China imejenga mtandao mkubwa zaidi wa habari na mawasiliano duniani, na hivi sasa China inashika nafasi ya kwanza duniani kwa hataza za lazima za mtandao wa 5G, na mwakani itaanza rasmi kutoa huduma za mtandao huo katika sehemu mbalimbali nchini China.

    • China yatoa waraka kuhusu maendeleo ya mambo ya wanawake
     09-19 18:29

    Ofisi ya habari ya baraza la serikali la China leo imetoa waraka kuhusu mambo ya wanawake, na kueleza mafanikio yaliyoipata China katika kuendeleza mambo ya wanawake katika miaka 70 iliyopita tangu kuanzishwa kwa Jamhuri ya Watu wa China.

    • Ajali za uzalishaji na vifo kutokana na ajali hizo vyapungua kwa miaka 16 mfululizo nchini China
     09-18 19:35

    Naibu waziri wa usimamizi wa kazi za kukabiliana na hali ya dharura wa China Bw. Sun Huashan, amesema katika miaka 70 iliyopita tangu kuanzishwa kwa Jamhuri ya Watu wa China, China imekamilisha kimsingi mfumo wenye umaalumu wa China wa usimamizi wa kazi za kukabiliana na hali ya dharura, na ajali kazini na vifo kutokana na ajali hizo vimepungua kwa miaka 16 mfululizo.

    • China yakamilisha kimsingi mtandao wa kisasa wa posta
     09-17 18:38

    Mkuu wa idara kuu ya posta ya China Bw. Ma Junsheng leo hapa Beijing amesema, katika miaka 70 iliyopita tangu kuanzishwa kwa Jamhuri ya Watu wa China, huduma za posta nchini China zimekua kwa mara 7,700, na China imekamilisha kimsingi mtandao wa kisasa wa posta.

    • China yatarajia kutimiza lengo la maendeleo ya uchumi
     09-16 18:30

    Idara kuu ya takwimu ya China leo imetangaza takwimu ya maendeleo ya sekta muhimu za kiuchumi zikiwemo viwanda, matumizi na uwekezaji katika mwezi wa Agosti. Msemaji wa idara hiyo Bw. Fu Linghui amesema, katika mwezi uliopita, kwa ujumla uchumi wa China umedumisha mwelekeo mzuri wa maendeleo, na China ina msingi, mazingira na imani katika kutimiza lengo lake la kiuchumi kwa mwaka huu.

    • China yashuhudia watalii milioni 105 wa ndani katika sikukuu ya mbalamwezi 09-16 08:42
    Jumla ya watalii milioni 105 wa China wamesafiri maeneo mbalimbali nchini katika mapumziko ya siku tatu ya sikukuu ya mbalamwezi iliyoanza Ijumaa na kumalizika Jumapili. Ikitoa takwimu hizo wizara ya Utamaduni na Utalii imesema idadi hiyo ni sawa na ongezeko la asilimia 7.6 ikilinganishwa na sikukuu ya mwaka uliopita.
    • Mwakilishi wa wanawake Hongkong asema wanaojidai kuwa ni "wapiganaji wa uhuru" ni wanafiki wanaotumia vigezo viwili 09-12 09:29
    Akizungumza kwenye kikao cha 42 cha Baraza la haki za binadamu la Umoja wa Mataifa kinachoendelea huko Geneva, Bi. Ho amesema yeye na familia yake walishambuliwa, kudhalilishwa na kutishiwa kwenye mtandao wa Internet na wale wanaojidai kuwa ni wapiganaji wa uhuru ambao wanajificha nyuma ya mask na kutothubutu kutaja majina yao ya kweli.
    • Jack Ma astaafu kama mwenyekiti wa Alibaba 09-11 09:10

    Jack Ma amestaafu rasmi kama mwenyekiti wa kampuni ya Alibaba na kukabidhi nafasi hiyo kwa Mkurugenzi mkuu mtendaji wa kampuni hiyo Daniel Zhang. Katika barua yake aliyotoa kwa umma Septemba, 10, mwaka jana, bilionea huyo ambaye pia ni mwanzilishi wa kampuni hiyo kubwa ya biashara ya mtandaoni alisema Alibaba kamwe haimilikiwi naye peke yake, lakini atakuwa nayo daima.

    • China Mobile yajenga vituo elfu 20 vya 5G 09-06 09:43
    Kampuni kubwa zaidi ya simu nchini China, China Mobile imetangaza kujenga vituo zaidi ya elfu 20 vya 5G katika miji 52 muhimu nchini humo. Na inapanga kutoa huduma za kibiashara za 5G katika miji zaidi ya 50 kabla ya mwishoni mwa mwaka 2019.
    • China yakana kuwa chanzo kikuu cha Fentanyl nchini Marekani
     09-03 18:11

    Ofisi kuu inayopambana na dawa za kulevya ya China leo imetangaza kuwa, tangu China ianze kuweka dawa ya Fentanyl chini ya usimamizi wa serikali tarehe mosi Mei, haijagundua uhalifu wa magendo ya dawa hiyo. Naibu mkurugenzi wa tume ya kitaifa ya kupambana na dawa za kulevya ya China Bw. Liu Yuejin amesisitiza kuwa, China si chanzo kikuu cha dawa ya Fentanyl nchini Marekani.

    • China yatoa waraka wa kwanza wa usalama wa nyukilia 09-03 18:10

    Ofisi ya habari ya baraza la serikali la China leo imetoa waraka wa kwanza wa "Usalama wa Nyukilia nchini China". Waraka huo unasema China imepitisha nyaraka zote za kimataifa kuhusu usalama wa nyukilia, na kuunga mkono juhudi za pande nyingi za kuimarisha usalama huo. Pia itaendelea kuhimiza ushirikiano wa kimataifa, na ujenzi wa mfumo wa kimataifa wa usalama wa nyukilia.

    • Chombo cha China Chang'e-4 chaendelea na kazi kwa siku ya 9 katika Mwezi 08-26 09:00
    Chombo cha uchunguzi cha China Chang'e-4 kimeendelea na kazi kwa siku ya tisa katika sehemu ya nyuma ya Mwezi baada ya "kulala" katika usiku wa baridi kali.
    • Kenya yatarajia kuiuzia China maparachichi mabichi
     08-23 18:22

    Balozi wa Kenya nchini China Bi. Sarah Serem amesema, Kenya inafanya mazungumzo na China kuhusu kuiuzia maparachichi mabichi, baada ya kutambua makubaliano ya zamani hayawezi kuwanufaisha wakulima wadogo wa Kenya.

    • Balozi wa Kenya nchini China atarajia injini mpya ya ushirikiano kati ya nchi hizo
     08-23 18:21

    Balozi wa Kenya nchini China Sarah Serem amesema, Kenya inatumai kujifunza na kuiga kwa makini uzoefu wa maendeleo ya China, na kuleta injini mpya kwa ushirikiano kati ya nchi hizo mbili.

    • China kujenga mji wa Shenzhen kuwa eneo la kielelezo cha ujamaa wenye umaalum wa China
     08-22 17:02

    Serikali ya China imetoa waraka wa kuunga mkono kuujenga mji wa Shenzhen kuwa eneo la kielelezo cha ujamaa wenye umaalum wa China, na kuutaka mji huo kuhimiza ujenzi wa eneo kubwa la ghuba ya Guangdong, Hong Kong na Macao.

    • Jinsi tetemeko kubwa la ardhi la 2008 lilivyowapelekea Wachina kufanya juhudi za pamoja kwa kujijenga upya 08-22 10:24

    Mei 12, mwaka 2008, tetemeko kubwa la ardhi lilitokea kwenye Wilaya ya Wenchuan mkoani Sichuan, kusini magharibi mwa China, na kusababisha idadi kubwa ya vifo na majeruhi, pamoja na uharibifu mkubwa wa mali, miundombinu, viwanda, kilimo na huduma za kijamii, katika mikoa ya Sichuan, Gansu na Shaanxi.

    • Maonesho ya kimataifa ya vitabu ya Beijing yalenga Maadhimisho ya miaka 70 tangu kuasisiwa kwa Jamhuri ya watu wa China 08-22 09:15
    Maonesho ya 26 ya kimataifa ya vitabu ya Beijing yamefunguliwa jana na yanalenga Maadhimisho ya Miaka 70 tangu kuasisiwa kwa Jamhuri ya Watu wa China. Kampuni zaidi ya 2,600 zinashiriki kwenye maonesho hayo, zikionesha vitabu zaidi ya laki 3.
    • Shanghai yavumbua njia ya kuvutia watu wenye uwezo ili kuhimiza maendeleo yenye sifa ya juu
     08-21 16:51

    Mji wa Shanghai ni mtangulizi wa utekelezaji wa sera ya mageuzi na kufungua mlango na maendeleo yenye sifa ya juu. Wakati mji huo unahimiza maendeleo yenye sifa ya juu, pia unafanya majaribio na uvumbuzi katika nyanja mbalimbali, haswa namna ya kuvutia watu wenye uwezo.

    • Juhudi za China katika kutokomeza umaskini uliokithiri zaonyesha mafanikio 08-21 13:30

    Tangu sera ya mageuzi na kufungua mlango ilipoanza kutekelezwa mwishoni mwa mwaka 1978, China imepata mafanikio makubwa katika kupunguza umaskini. Kwa mujibu wa vigezo vya kimataifa vya kupunguza umaskini, idadi ya watu wa China wanaokumbwa na umaskini imepungua kwa kiasi kikubwa.

    prev 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 next
    SearchYYMMDD  
    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako