![]() 2017-08-31 Mkutano wa nchi za BRICS utakaofanyika hivi karibuni mjini Xiamen, China unatarajiwa kupata matokeo mazuri katika kuhimiza ushirikiano wa mambo ya kifedha, yatakayotoa mchango mpya kwa ajili ya kuendeleza uchumi wa nchi za BRICS na dunia nzima. Pia kukamilisha utawala wa uchumi wa dunia, na kuinua zaidi kiwango cha ushirikiano halisi kati ya nchi za BRICS. |
![]() Kampuni ya sayansi na teknolojia ya anga ya juu ya China CASC imetoa huduma ya kibiashara mara 55 kurusha satilaiti kwa ajili ya nchi nyingine, na itaendelea kuimarisha ushirikiano wa kimataifa kwenye eneo hilo. |
![]() Katika mji wa pwani wa Xiamen ulioko kusini mashariki mwa China kuna kampuni inayoshughulikia uchimbaji wa mawe, utengenezaji wa bidhaa za mawe na biashara ya mawe. Kampuni hii iitwayo WanliStone si kama tu imeanzisha shughuli zake mjini Xiamen na miji mbalimbali nchini China, bali pia imeanzisha biashara na nchi na sehemu 30 zikiwemo nchi za Afrika. |
![]() 2017-08-30 Wizara ya mambo ya nje ya China leo imeitisha mkutano na waandishi wa habari kuhusu mkutano wa nchi za BRICS utakaofanyika mjini Xiamen China. |
![]() Katibu mtendaji wa Mkataba wa Umoja wa mataifa kuhusu mabadiliko ya hali ya hewa Bi. Patricia Espinosa amepongeza uongozi wa China katika kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa, na kusema juhudi zinazofanywa na China zimezihamasisha nchi nyingi kukabiliana na suala hilo. |
![]() Mkutano wa kimataifa wa roboti umefungwa hapa Beijing. Tangu mkutano wa kimataifa wa roboti ufanyike kwa mara ya kwanza mwaka 2015, mkutano huo umehimiza mawasiliano na ushirikiano wa teknolojia ya roboti kote duniani, na umekuwa kama michezo ya Olimpiki ya shughuli ya roboti duniani. |
![]() Rais Xi Jinping wa China amekutana na mwenyekiti wa kamati ya Olimpiki ya kimataifa Bw Thomas Bach na mwenyekiti wa baraza la Olimpiki la Asia Bw Ahmed Al-Sabah ambao wako China kuhudhuria ufunguzi wa michezo ya 13 ya taifa la China. |
![]() Leo ni siku ya kwanza ya kukinga ulemavu nchini China. Shirikisho la walemavu la China hivi karibuni limeanza hatua nne za kukinga ulemavu, na kutoa vifungu 30 vya elimu kuhusu namna ya kukinga ulemavu wa kurithi, maradhi na majeraha, na kuboresha huduma kwa watu wenye ulemavu. |
![]() Mashirika 37 ya China yakiwemo kituo cha utafiti wa afya kwa majaribio mapya, shirikisho la udhibiti wa sigara la China na tawi lake mjini Beijing, hivi karibuni yametoa ripoti yakitangaza maoni manne ya pamoja na changamoto tisa zinazokabili juhudi za kudhibiti sigara. |
![]() Mkutano wa roboti duniani kwa mwaka 2017 umefunguliwa jana mjini Beijing, China. |
![]() Maonesho ya 24 ya kimataifa ya vitabu yamefunguliwa leo hapa Beijing. Mashirika zaidi ya 2,500 kutoka nchini mbalimbali duniani yameonesha aina zaidi ya laki tatu za vitabu vilivyochapishwa hivi karibuni, na kati ya mashirika hayo, asilimia 58 yanatoka nchi za nje. |
![]() Kituo cha ujuzi wa maendeleo ya kimataifa cha China kimezinduliwa rasmi hapa Beijing, sambamba na ripoti kuhusu hatua inayopigwa na China katika kutekeleza ajenda ya maendeleo endelevu ya mwaka 2030. Hizi ni hatua mbili zilizochukuliwa na China ili ya kutekeleza ajenda ya maendeleo endelevu ya mwaka 2030 iliyowekwa na Umoja wa Mataifa. Rais Xi Jinping wa China na katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa walitoa salamu za pongezi. |
![]() Kwenye mkutano wa tano wa viongozi wa nchi za BRICS uliofanyika mwaka 2013 mjini Durban, Afrika Kusini, Rais Xi Jinping wa China alitoa hotuba kuhusu "Kushirikiana ili Kupata Maendeleo ya pamoja", na kusisitiza umuhimu wa kujenga uhusiano wa wenzi wa kimaendeleo duniani, ili kuhimiza ustawi wa pamoja. Ni miaka minne sasa imepita tangu rais Xi Jinping atoe hotuba hiyo. Hotuba ya rais Xi imekuwa na maana gani kwa shughuli za kimataifa za hivi sasa? |
![]() Hafla ya uzinduzi wa kituo cha ujuzi wa maendeleo ya kimataifa cha China na utoaji wa ripoti ya utekelezaji wa Ajenda ya Maendeleo Endelevu ya Mwaka 2030 nchini China imefanyika hapa Beijing. |
![]() Semina ya siku mbili kuhusu uongozi ya nchi za BRICS imefanyika kuanzia jana huko Quanzhou, mkoani Fujian, na kuhudhuriwa na watu zaidi 160 kutoka nchi za BRICS na nchi nyingine zinazoendelea. |
![]() Naibu mwenyekiti wa kamati ya kijeshi ya chama cha kikomunisti cha China Bw. Fan Changlong, leo hapa Beijing amekutana na mwenyekiti mnadhimu wa jeshi la Marekani Jenerali Joseph F. Dunford. |
![]() Hadi kufikia jana tarehe 10, tetemeko la ardhi lililotokea katika wilaya ya Jiuzhaigou mkoani Sichuan limesababisha vifo vya watu 20, na wengine 431 kujeruhiwa. Watu zaidi ya elfu 70 waliokwama kwenye eneo hilo, wamehamishwa katika sehemu salama. Hivi sasa kazi za uokoaji bado zinaendelea. |
![]() Wizara ya fedha ya China imesema serikali kuu ya China imetoa dola za kimarekani milioni 27.1 kwa kazi za uokoaji mkoani Sichuan na Xinjiang, baada ya kuathiriwa vibaya na tetemeko la ardhi. |
![]() Kuzuia ajali ya moto ni muhimu zaidi kati ya kazi za kulinda misitu. Katika msitu wa Saihanba ulioko mkoani Hebei, China, ingawa mitambo ya kisasa kama vile rada ya kugundua moto na kamera za uchunguzi zimewekwa, lakini uchunguzi wa binadamu bado ni muhimu zaidi, na watu wa kuchunguza ajali ya moto wanajulikana kama macho ya kulinda misitu. |
![]() Tetemeko la ardhi lenye nguvu ya 7 kwenye kipimo cha Richter limeikumba sehemu ya ndani ya mkoa wa Sichuan, ulioko magharibi mwa China, na kusababisha vifo vya watu tisa na wengine 164 kujeruhiwa. |
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |