![]() Kuanzia tarehe 27 Novemba hadi tarehe 5 Desemba, rais Xi Jinping wa China alifanya ziara nchini Hispania, Argentina, Panama na Ureno, na kuhudhuria mkutano wa 13 wa kilele wa kundi la nchi 20. Kwenye ziara hiyo, rais Xi na mke wake Bibi Peng Liyuan kwa mara nyingine tena walionyesha utamaduni wa China kwa dunia. |
![]() Chombo cha uchunguzi wa mwezini cha Changé-4 kimerushwa leo mapema alfajiri katika kituo cha kurushia satelite cha Xichang mkoani Sichuan, na kinatarajiwa kutua bila matatizo kwa mara ya kwanza katika upande wa pili wa mwezi. |
![]() Kufuatia mwaliko wa rais Juan Carlos Varela wa Panama, rais Xi Jinping wa China ameanza ziara nchini humo kuanzia tarehe 2. Hii ni mara ya kwanza kwa rais Xi Jinping, na pia kwa rais wa China kufanya ziara nchini humo. |
Wakuu wa G20 wahimizwa kushikamana kukabiliana na changamoto duniani 11-30 16:55 Mkutano wa kilele wa wakuu wa kundi la nchi 20 G20 umefunguliwa leo mjini Buenos Aires, Argentina. Hii ni mara ya kwanza ya nchi ya Amerika ya kusini kuwa mwenyeji wa mkutano huo. |
![]() Katika miaka ya hivi karibuni, wilaya ya Dali mkoani Shaanxi, China imeendeleza kilimo kwa nguvu kubwa, huku maisha ya wakulima yakiboreshwa kwa kiasi kikubwa. |
Mkutano wa kilele wa G20 watakiwa kuhimiza ushirikiano wa pande nyingi 11-29 16:48 Mkutano wa kilele wa wakuu wa kundi la nchi 20 G20 utafanyika kesho nchini Argentina. Hili linatarajiwa kuwa jambo lenye maana kubwa zaidi duniani kwa mwaka huu. |
![]() 11-28 17:06 Naibu waziri wa sayansi na teknolojia wa China Bw. Xu Nanping amesema, kushikilia maendeleo endelevu ni maoni ya pamoja ya dunia nzima, China itaendelea na mawazo ya kuhimiza uvumbuzi, mageuzi na ufunguaji mlango, na maendeleo endelevu katika sekta ya sayansi na teknolojia, na kufuatilia zaidi kuboreshaji maisha ya wananchi na mazingira. |
![]() 11-27 17:26 Kuhimizwa kwa ushirikiano wa Ukanda Mmoja, Njia Moja kumeongeza biashara, maingiliano ya maslahi na mawasiliano ya watu kati ya peninsula ya Iberia na China, na pia kutia nguvu mpya kwenye maendeleo ya Hispania na Ureno zilizoko kwenye peninsula hiyo. |
![]() 11-26 16:48 Mkutano mkuu wa 24 wa nchi zilizosaini makubaliano ya kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa ya Umoja wa Mataifa utafanyika mwanzoni mwa mwezi ujao mjini Katowice, Poland, na nchi hizo zinatarajiwa kupiga kura ya maoni ili kupitisha utaratibu wa kutekeleza makubaliano ya Paris. Mjumbe maalumu wa China anayeshughulikia mabadiliko ya hali ya hewa Bw. Xie Zhenhua amesema, China siku zote inakabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa kwa msimamo imara na hatua madhubuti, na inatarajia mkutano huo utakamilisha mazungumzo kuhusu utaratibu wa kutekeleza makubaliano ya Umoja wa Mataifa. |
![]() Hivi karibuni wizara ya mawasiliano na uchukuzi ya China imetoa kanuni za usimamizi zinazolenga kutatua masuala makubwa ya usimamizi wa ujenzi wa barabara za vijijini, na kuthibitisha zaidi utaratibu wa wajibu wa maisha kuhusu ubora wa barabara za vijijini. Hadi kufikia mwishoni mwa mwaka 2017, urefu wa barabara za vijijini ulikuwa umefikia kilomita milioni 4.01, ambao unachukua asilimia 84 ya urefu wa barabara zote nchini China. |
![]() Maelfu ya wageni kutoka nchi mbalimbali wakiwemo mabalozi, wataalamu na wajumbe wa idara za kibiashara jana wamealikwa kwenye maonesho ya "Maadhimisho ya miaka 40 tangu China ianze kutekeleza sera ya mageuzi na ufunguaji mlango" yaliyofanyika kwenye jumba la makumbusho la taifa la China hapa Beijing. Wageni hao wamesema tangu China ianze kutekeleza sera ya mageuzi na ufunguaji mlango, imepata maendeleo ya kuishangaza dunia, na wanatarajia kushirikiana zaidi na China ili kunufaika na kupata mafanikio kwa pamoja. |
![]() Maonyesho makubwa yamezinduliwa leo katika Jumba la makumbusho ya taifa hapa Beijing, ikiwa ni maadhimisho ya miaka 40 tangu China itekeleze sera ya mageuzi na kufungua mlango. |
![]() Mauzo katika dakika mbili za kwanza ya siku ya punguzo kubwa kwenye biashara kwa njia ya mtandao wa internet, ambayo hapa China ni maarufu kama siku ya makapera, yamefikia dola za kimarekani bilioni 1.4. |
![]() Kwenye Maonesho ya Kwanza ya Kimataifa ya Uingizaji Bidhaa ya China CIIE, wafanyabiashara kutoka nchi zinazoendelea na nchi zilizoko nyuma kimaendeleo wameleta bidhaa zao, na kuvutia waagizaji wengi kufanya ushirikiano. |
Tunatakiwa kupata dunia ya kidigitali ya namna gani? 11-09 16:38 Mkutano wa 5 wa kimataifa wa mtandao wa internet umefunguliwa kama ilivyopangwa huko Wuzhen, China. Kwenye mkutano huo wa siku tatu, washiriki walizungumza, kuwasiliana, kuonesha video na kujadili mada kuu ya mkutano ya "Kujenga dunia ya kidigitali iliyo ya uendeshaji wa pamoja na kuwa na hali ya kuaminiana ili kujenga jumuiya yenye mustakabali wa pamoja kwenye nafasi za mtandao wa internet, ambapo wameahidi kuchukua hatua kwa pamoja. |
![]() Waziri mkuu wa China Bw. Li Keqiang na mwenzake wa Russia Dmitry Medvedev wameendesha kwa pamoja mkutano wa 23 wa mawaziri wakuu wa China na Russia. |
![]() Kwenye Mkutano wa Baraza la vyombo vya habari vya mambo ya fedha na uchumi na Jumuiya ya washauri bingwa uliofanyika alasiri ya tarehe 5, Mkuu wa Kituo kikuu cha Radio na Televisheni cha taifa Bw. Shen Haixiong alipotoa hotuba alisema, Rais Xi Jinping alitoa hotuba kwenye ufunguzi wa Maonesho ya kwanza ya Kimataifa ya Bidhaa zinazoingizwa China kutoka nje, maneno yanayoleta matumaini kwenye hotuba yake, yamefuatiliwa mara moja kwenye mtandao, na kukubaliwa sana na watu wa ndani na nje ya nchi. |
![]() Mke wa rais wa China Bibi Peng Liyuan, ambaye ni balozi wa heshima wa Shirika la Afya Duniani kuhusu maradhi ya kifua kikuu na UKIMWI na Bw. Bill Gates, ambaye ni mwenyekiti mwenza wa Mfuko wa Bill&Melinda Gates wamekutana mjini Shanghai. |
![]() Rais Xi Jinping wa China amehudhuria na kutoa hotuba kwenye Maonesho ya kwanza ya kimataifa ya uagizaji bidhaa ya China yaliyofunguliwa leo mjini Shanghai. Rais Xi ametangaza kuwa China itaongeza hatua za kufungua mlango, akisisitiza kuwa mafungamano ya kiuchumi duniani ni mwelekeo usiozuilika, nchi zote zinatakiwa kuhimiza ufunguaji mlango na ushirikiano, ili kupata maendeleo kwa pamoja. |
![]() Maonesho ya kwanza ya kimataifa ya bidhaa zinazoingizwa China kutoka nje yamefunguliwa leo huko Shanghai, ambapo nchi, sehemu na mashirika ya kimataifa 172 pamoja na kampuni zaidi ya 3,600 zimeshiriki kwenye maonesho hayo. |
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |