![]() 2018-01-12 Waziri Mkuu wa Uingereza Bi. Theresa May amezindua mkakati mkubwa wa mazingira ambao haijawahi kutokea nchini humo, akiahidi kufuta taka zote za plastiki zinazoweza kuepukika ifikapo mwaka 2042. |
![]() Mkutano wa pili wa viongozi wa ushirikiano wa Lancang-Mekong wenye kauli mbiu "Mto wa amani na maendeleo endelevu" umefanyika leo huko Phnom Penh, Cambodia. |
![]() Korea Kaskazini imekubali kutuma ujumbe wa ngazi ya juu wa wachezaji na ujumbe wa kamati ya Olimpiki ya nchi hiyo kushiriki kwenye michezo ya Olimpiki ya majira ya baridi ya PyeongChang. |
![]() Tume ya Umoja wa Mataifa nchini Afghanistan, UNAMA imeonya kuwa, shambulizi la hivi karibuni la kujitoa mhanga mjini Kabul, linaweza kutambuliwa kama tukio la uhalifu wa kivita. |
![]() Watu wasiopungua 40 wameuawa wakiwemo washambuliaji wawili na wengine wengi kujeruhiwa kwenye milipuko miwili ya kujitoa mhanga dhidi ya jengo moja magharibi mwa Kabul, mji mkuu wa Afghanistan. |
![]() Waziri wa mambo ya nje wa Russia Bw. Sergei Lavrov jana ameongea na mwenzake wa Marekani Bw. Rex Tillerson kwa njia ya simu na kusema, Marekani hairuhusiwi kuongeza hali ya hatari kwenye peninsula ya Korea kwa kauli za uchochezi na kuongeza jeshi lake kwenye peninsula hiyo. |
![]() Serikali ya Philippines imesema, watu 164 wamefariki na wengine 171 hawajulikani walipo baada ya mvua kubwa kunyesha kusini mwa nchi hiyo wiki iliyopita. |
![]() Baraza la umoja wa mataifa limepitisha azimio kuhusu hadhi ya Jerusalem, litakalofanya uamuzi wa Rais Donald Trump wa Marekani kutambua mji huo kuwa mji mkuu wa Israel usiwe na nguvu ya kisheria. |
![]() Nchi 6 zinazojishughulikisha na suala la nyuklia la Iran na Iran zimefanya mkutano wa 10 wa tume ya ushirikiano ya makubaliano ya pande zote kuhusu suala la nyuklia la Iran huko Vienna. |
![]() Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa ameonya kuwa, jumuiya ya kiamtaifa inashindwa kwenye mapambano dhidi ya suala la mabadiliko ya hali ya hewa, na kutoa wito wa kuharakisha kuchukua hatua halisi kutekeleza makubaliano ya Paris kuhusu suala hilo. |
![]() Waziri wa mambo ya nje wa China Bw. Wang Yi amesema, China, Russia na India zimetambua jukumu lao la kimataifa, na zinapenda kuimarisha mawasiliano na uratibu, kutoa mchango kwa kutuliza hali ya kimataifa, na kuleta uhakikisho na hamasa zaidi kwa dunia. |
![]() Sherehe ya kutoa tuzo za Nobel za mwaka 2017 katika sekta za fizikia, kemikali, saikolojia au matibabu, fasihi na uchumi imefanyika jana huko Stockholm nchini Uswiss na kuhudhuriwa na watu zaidi 1,500 wakiwemo wajumbe wa familia ya kifalme, viongozi na wajumbe wa sekta mbalimbali. |
![]() Ofisi ya takwimu ya Uingereza imesema, ndani ya mwaka mmoja baada ya nchi hiyo kupiga kura ya maoni kuhusu kujitoa kwenye Umoja wa Ulaya, idadi ya wahamiaji nchini humo imepungua kwa zaidi ya laki moja na kufikia elfu 230, ikiwa ni kiasi kikubwa zaidi kupungua kwa mwaka tangu takwimu hizo zilipoanza kutangazwa. |
![]() Waziri mkuu wa China Bw. Li Keqiang amewasili Sochi, Russia, ambapo anatarajiwa kuhudhuria mkutano wa 16 wa baraza la mawaziri wakuu wa Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai. |
![]() Korea Kaskazini imethibitisha kuwa imefanya kwa mafanikio jaribio la kombora jipya aina ya ICBM mapema leo, ikiwa ni jaribio la karibuni zaidi la makombora ambalo limelaaniwa vikali na nchi na mashirika ya kimataifa. |
![]() Duru ya nane ya mazungumzo ya amani ya Geneva kuhusu suala la Syria inayoongozwa na Umoja wa Mataifa imeanza leo huko Geneva nchini Uswisi. |
![]() Muungano wa kijeshi wa nchi za kiislam wa kupambana na ugaidi jana umefanya mkutano wa kwanza wa mawaziri wa ulinzi huko Riyadh nchini Saudi Arabia. |
![]() Waziri wa mambo ya nje wa Saudi Arabia Bw. Adel bin Ahmed Al-Jubeir amesema, kauli kuhusu nchi hiyo kumzuia waziri mkuu wa Lebanon Bw. Saad Hariri si ya kweli. |
![]() Wajumbe kutoka China, Ujerumani na Afrika wanaohudhuria mkutano wa 23 wa mkataba wa mabadiliko ya hali ya hewa wa Umoja wa Mataifa UNFCCC mjini Bonn wamesema, kujenga mfumo wa ushirikiano wa pande hizo tatu kutasaidia kutimiza lengo la usimamizi wa hali ya hewa wa dunia nzima na kutimiza maendeleo endelevu. |
![]() Mawaziri wa nchi nne zinazounda kundi la BASIC wanaohudhuria mkutano wa hali ya hewa wa Bonn wametoa taarifa ya pamoja wakisisitiza kuharakisha utekelezaji wa ahadi na hatua za kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa kabla ya mwaka 2020. |
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |